Skip to content
Thursday, April 15, 2021
Latest:
  • Vifo 26 zaidi vyaripotiwa Kenya kutokana na maradhi ya COVID-19
  • Oooh Nyumbani ni nyumbani David Ouma ateuliwa naibu kocha wa SOFAPAKA miaka 8 baade
  • Kenya yaadhimisha siku 100 , kuanza kwa michezo Olimpiki ya Tokyo
  • Nahodha wa Uganda Dennis Onyango astaafu soka kimataifa
  • Maafisa wa KWS wanasa mashua iliyotekeleza uvuvi haramu Tana River
Radiotaifa-92.9fm-kenya-logo

Radio Taifa

Sauti ya Mkenya

  • Habari
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Vipindi

Tigray

Kimataifa 

Wanajeshi wa Eritrea wajiondoa kutoka eneo la makabiliano la Tigray nchini Ethiopia

4 April 2021 James Kombe 0 Comments Eritrea, Ethiopia, Tigray, TPLF

Wanajeshi wa Eritrea wameanza kuondoka katika eneo la Tigray nchini Ethiopia baada ya kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na waasi

Read more
Kimataifa 

Janga la Kibinadamu huenda likakumba eneo la Tigray

3 February 2021 Tom Mathinji 0 Comments Abiy Ahmed, Ethiopia, Tigray

Vyama vya upinzani katika jimbo la Ethiopia la Tigray,vimeonya kuhusu uwezekano wa kutokea janga la kibinadamu ikiwa misaada haitapelekwa katika

Read more
Kimataifa 

Umoja wa Mataifa waelezea wasiwasi kuhusu raia wa Tigray

22 December 2020 Tom Mathinji 0 Comments Michelle Bachelet, Tigray, Umoja wa Mataifa

Umoja wa mataifa umesema kuwa unaendelea kuwa na wasiwasi kuhusu hali ya raia katika eneo la Tigray nchini  Ethiopia. Kwa mara

Read more
Kimataifa 

Ethiopia yawakomboa wanajeshi wake waliokuwa mateka Tigray

10 December 2020 Tom Mathinji 0 Comments Ethiopia, Tigray, TPLF

Ethiopia imesema kuwa vikosi vyake vimewakomboa wanajeshi elfu- moja waliokuwa wametekwa nyara katika jimbo la Tigray na wapiganaji wanaohusishwa na

Read more
Kimataifa 

Vikosi vya Ethiopia vyashambulia jiji kuu ya Tigray,Mekelle

28 November 2020 Tom Mathinji 0 Comments Ethiopia, Mekelle, Tigray, TPLF

Vikosi vya serikali nchini Ethiopia vimetekeleza shambulizi kali katika jiji kuu la eneo la Tigray kaskazini ya nchi hiyo kwa

Read more
Habari 

Ethiopia yakanusha kuwashambulia raia katika jimbo la Tigray

19 November 2020 Tom Mathinji 0 Comments Ethiopia, Tigray, TPLF

Maafisa wa serikali kuu ya Ethiopia wamekanusha ripoti kwamba raia walilengwa kwenye mashambulizi ya angani katika mji mkuu wa eneo

Read more
Kimataifa 

Umoja wa Mataifa waonya kuzuka kwa mzozo wa kibinadamu katika jimbo la Tigray

17 November 2020 Tom Mathinji 0 Comments Abiy Ahmed, Tigray, TPLF

Umoja wa mataifa umeonya kwamba mzozo mkubwa wa binadamu unanukia katika jimbo la Kaskazini mwa Ethiopia la Tigray,kufuatia mapigano ya

Read more
Kimataifa 

Mulu Nega ateuliwa kuwa msimamizi mkuu wa jimbo Tigray.

13 November 2020 Tom Mathinji 0 Comments Abiy Ahmed, Dr Mulu Nega, Tigray

Serikali ya Ethiopia imemteua msimamizi wa muda wa jimbo la Tigray kaskazini ya nchi hiyo ambako operesheni ya kijeshi ya

Read more
Kimataifa 

Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed awatimua maafisa wakuu Serikalini

8 November 20208 November 2020 Tom Mathinji 0 Comments Abiy Ahmed, Demeke Mekonnen, Tigray

Waziri mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, amemfuta kazi mkuu wa majeshi, mkuu wa idara ya ujasusi na waziri wa mashauri

Read more

Skiza Sasa

Your browser does not support the audio element.

Kutuhusu

KBC Radio Taifa ni kituo cha radio kinachoheshimika zaidi nchini Kenya na ulimwenguni. Kinamilikiwa na Shirika la Utangazaji la Kenya yaani Kenya Broadcasting Corporation (KBC).

KBC Radio Taifa ina watangazaji mahiri na wenye sifa kuu kwa utangazaji wa habari za kuaminika, muziki wa kuburudisha na vipindi vizuri vya afya, ukulima, biashara na kadhalika.

Other FM Stations

  • KBC English Service
  • Pwani FM
  • Nosim FM
  • Ingo FM
  • Minto FM

Other FM Stations

  • Coro FM
  • Iftiin FM
  • Mayienga FM
  • Kitwek FM
  • Mwago FM

Other Links

  • Listen Live
  • About Us
  • Contact Us
  • Presenters
  • Advertising Rates
Copyright © 2021 Radio Taifa. All rights reserved.
Go to mobile version