Skip to content
Thursday, April 15, 2021
Latest:
  • Vifo 26 zaidi vyaripotiwa Kenya kutokana na maradhi ya COVID-19
  • Oooh Nyumbani ni nyumbani David Ouma ateuliwa naibu kocha wa SOFAPAKA miaka 8 baade
  • Kenya yaadhimisha siku 100 , kuanza kwa michezo Olimpiki ya Tokyo
  • Nahodha wa Uganda Dennis Onyango astaafu soka kimataifa
  • Maafisa wa KWS wanasa mashua iliyotekeleza uvuvi haramu Tana River
Radiotaifa-92.9fm-kenya-logo

Radio Taifa

Sauti ya Mkenya

  • Habari
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Vipindi

fkf

Michezo 

Charles Okere ateuliwa kocha wa Harambee Stars

13 April 202113 April 2021 Dismas Otuke 0 Comments Charles Okere, fkf, Harambee starlets

Naibu kocha wa Tusker Fc Charles Okere ameteuliwa  kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya wanawake Harambee Starlets. Okere

Read more
Michezo 

Kikosi cha awali cha Harambee Starlets kwa mechi ya Zambia chatajwa

9 April 2021 Dismas Otuke 0 Comments fkf, Harambee starlets

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka ya wanawake Harambee Starlets , David Ouma ametangaza kikosi cha awali kwa

Read more
Michezo 

Harambee Stars yapanda nafasi mbili msimamo wa FIFA

7 April 20217 April 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CECAFA, FIFA, fkf, Harambee Stars, Kenya

Timu ya Harambee Stars imepanda kwa nafasi mbili kwenye msimamo wa dunia wa FIFA wa mwezi Machi uliotangazwa Jumatano. Stars

Read more
Michezo 

Harambee Stars kufungua mechi za kufuzu kombe la dunia dhidi ya Uganda mwezi Juni

2 April 20212 April 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, FIFA, fkf, Harambee Stars, Kenya

Harambee Stars itaanza mechi za kundi E kufuzu kwa kombe la dunia mwaka ujao nchini Qatar dhidi ya majirani Uganda

Read more
Michezo 

Harambee Stars tayari kukamilisha kibarua cha Togo Jumatatu usiku mjini Lome

29 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, fkf, FTF, Kenya, Togo

Timu ya taifa Harambee Stars itashuka uwanjani Keg’ue mjini Lome kupambana na wenyeji Sparrow Hawks ya Togo katika mechi ya

Read more
Michezo 

Harambee Stars yawasili Lome kwa mechi ya AFCON Jumatatu jioni

28 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, fkf, Harambee Stars

Timu ya Harambee Stars imewasili mjini Lome Togo mapama Jumapili tayari kwa pambano la mwisho la kundi G kufuzu kwenda

Read more
Michezo 

Michezo yafungwa kote nchini

26 March 202126 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments AK, fkf, Kru, MOSCA

Shughuli zote za michezo kote nchini  zimefungwa kutokana na ongezeko  la maambukizi  ya virusi vya Korona. Kwenye hotuba yake kwa

Read more
Michezo 

Harambee Stars kuondoka kwenda Togo kwa mechi ya mwisho kufuzu AFCON kwa ndege ya kukodi

26 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments AFCON2022, CAF, fkf

Timu ya taifa  Harambee Stars  itaondoka  nchini mapema Jumamosi kwa ndege ya kukodi  kwenda Lome Togo kwa mchuano wa mwisho

Read more
Michezo 

Misri yafuzu kwenda AFCON 2022 licha ya sare ya 1-1 na Kenya

25 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments AFCON2022, CAF, EFA, Egypt, fkf, Kenya

Misri imejikatia tiketi kwa fainali za AFCON mwaka ujao nchini Cameroon ,licha ya kutoka sare ya bao 1-1 na Harambee

Read more
Michezo 

Mashabiki hawataruhisiwa uwanjani Kasarani mechi ya Kenya na Misri

25 March 202125 March 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, EFA, fkf, KBC, MOSCA

Mashabiki hawataruhiswa kuingia uwanjani Kasarani Alhamisi usiku  katika mechi ya kufuzu kwa kombe la AFCON baina ya Kenya na Misri

Read more
  • ← Previous

Skiza Sasa

Your browser does not support the audio element.

Kutuhusu

KBC Radio Taifa ni kituo cha radio kinachoheshimika zaidi nchini Kenya na ulimwenguni. Kinamilikiwa na Shirika la Utangazaji la Kenya yaani Kenya Broadcasting Corporation (KBC).

KBC Radio Taifa ina watangazaji mahiri na wenye sifa kuu kwa utangazaji wa habari za kuaminika, muziki wa kuburudisha na vipindi vizuri vya afya, ukulima, biashara na kadhalika.

Other FM Stations

  • KBC English Service
  • Pwani FM
  • Nosim FM
  • Ingo FM
  • Minto FM

Other FM Stations

  • Coro FM
  • Iftiin FM
  • Mayienga FM
  • Kitwek FM
  • Mwago FM

Other Links

  • Listen Live
  • About Us
  • Contact Us
  • Presenters
  • Advertising Rates
Copyright © 2021 Radio Taifa. All rights reserved.
Go to mobile version