Skip to content
Monday, January 18, 2021
Latest:
  • Mtandao warejeshwa Uganda baada ya kufungwa wakati wa uchaguzi mkuu
  • Mahakama yazuia kuapishwa kwa Anne Kananu kuwa Kaimu Gavana wa Nairobi
  • Gor Mahia wazima Stima Kisumu
  • Taharuki yatanda Kapedo baada ya afisa wa GSU kuuawa na majambazi
  • Maambukizi ya COVID-19 yazidi kushuka huku watu 65 wakipatikana na ugonjwa huo
Radiotaifa-92.9fm-kenya-logo

Radio Taifa

Sauti ya Mkenya

  • Habari
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Vipindi
  • Uchaguzi Tanzania 2020

CHAN 2021

Michezo 

Mali waipakata Burkina Fasso 1-0 CHAN

17 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments Burkinafasso, CAF, CHAN 2020, CHAN 2021, Mali

Mali maarufu kama the Flying Eagles walifungua mechi yao ya Chan mwaka 2021 kwa ushindi baada ya kuilaza Burkina Fasso

Read more
Michezo 

CHAN kutoa fursa kwa wachezaji wa nyumbani kung’aa

16 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CHAN 2021

Makala ya 6 ya mashindano ya kombe la CHAN yatang’oa nanga Jumamosi usiku mjini Yaounde Cameroon huku mataifa 16 yakiwania

Read more
Michezo 

Zimbabwe kuweka kando masaibu ya COVID 19

14 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CHAN 2021, Zimbabwe

Zimbabwe maarufu kama the Warriors wanashiriki fainali za CHAN kwa mara ya tano wakiwa miongoni mwa nchi tatu zilizoshiriki mara

Read more
Michezo 

Cameroon kusukumwa na mashabiki wa nyumbani CHAN

14 January 202114 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, Cameroon, CHAN 2021, FECAFOOT

Mataifa 16 yako nchini Cameroon kushiriki  mashindano  ya Afrika kwa wachezaji wanaosakata  soka katika ligi za nyumbani maarufu  CHAN  yatang’oa

Read more
Michezo 

Mataifa yaliyowasili Cameroon tayari kwa CHAN

12 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CHAN 2021

Zikisalia siku 4   kabla  ya kuanza kwa makala ya 6 ya fainali za  kuwania kombe la CHAN  nchini Cameroon  

Read more
Michezo 

Fahamu viwanja 4 vitakavyotumika kuandaa michuano ya CHAN nchini Cameroon

12 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CHAN 2021

Makala ya 6 ya fainali za kuwania  kombe la CHAN yataandaliwa katika viwanja vinne vilivyo katika miji mitatu nchini Cameroon

Read more
Michezo 

Mataifa 16 yatakayoshiriki CHAN 2021 kuanzia Jumamosi Januari 16

11 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments CAF, CHAN 2021

Makala ya 6 ya fainali za kombe la CHAN yataanza kutimua vumbi nchini Cameroon Jumamosi hii Januari 16 huku fainali

Read more
Michezo 

Marefa wawili wa Kenya kusimamia makala ya 6 ya CHAN nchini Cameroon

11 January 2021 Dismas Otuke 0 Comments AFCON 2019, CAF, CHAN 2021, Dkt Peter Waweru Kamaku, fkf, Gilbert Cheruiyot

Waamuzi wawili wa humu nchini Dkt  Peter Waweru  Kamaku na Gilbert Cheruiyot wameteuliwa kusimamia makala ya 6 ya fainali za

Read more

Skiza Sasa

Your browser does not support the audio element.

Kutuhusu

KBC Radio Taifa ni kituo cha radio kinachoheshimika zaidi nchini Kenya na ulimwenguni. Kinamilikiwa na Shirika la Utangazaji la Kenya yaani Kenya Broadcasting Corporation (KBC).

KBC Radio Taifa ina watangazaji mahiri na wenye sifa kuu kwa utangazaji wa habari za kuaminika, muziki wa kuburudisha na vipindi vizuri vya afya, ukulima, biashara na kadhalika.

Other FM Stations

  • KBC English Service
  • Pwani FM
  • Nosim FM
  • Ingo FM
  • Minto FM

Other FM Stations

  • Coro FM
  • Iftiin FM
  • Mayienga FM
  • Kitwek FM
  • Mwago FM

Other Links

  • Listen Live
  • About Us
  • Contact Us
  • Presenters
  • Advertising Rates
Copyright © 2021 Radio Taifa. All rights reserved.
Go to mobile version